Natafuta mchumba wa kike

Natafuta mchumba wa kike

rasachri

Senior Member
Joined
Apr 8, 2011
Posts
145
Reaction score
35
Habari wana MMU?

Nina umri wa miaka 25, nina urefu wa futi 6, rangi maji ya kunde, dini yangu mkristo.

Ninayemuhitaji, awe MWANAMKE mwenye kimo kama au kinachokaribiana na changu (yaani azidi au apungue kidogo), awe mkristo, asiwe mlevi, zaidi ya yote awe mcha mungu.

anayetafuta kama mimi ani pm ili tuwasiliane zaidi kwa ajili ya kufahamiana zaidi.

Nawasilisha.
 
Umeshaota mazivu na chunusi unajiona mkubwa,tafuta not si wachumba ebo...loading error...
 
Umeshaota mazivu na chunusi unajiona mkubwa,tafuta not si wachumba ebo...loading error...

Noti nshazipata, bado wa kutumia nae. we bado hujaota mazivu ndio mana hadi umri huo unatafuta noti wakati sisi unaotushangaa kwamba hatujakua kiumri tunatafuta wa kutumia nae.
 
still a kid....wanawake huwaoni mtaan? huko ndo rahisi zaid
 
still a kid....wanawake huwaoni mtaan? huko ndo rahisi zaid

miaka 25 sio kid! Issue ni amejipanga vipi. Tatzo tumeshazoea mtu hadi uingie kwenye 30s ndo uoe/uolewe. 'The Sooner The Better'
 
Noti nshazipata, bado wa kutumia nae. we bado hujaota mazivu ndio mana hadi umri huo unatafuta noti wakati sisi unaotushangaa kwamba hatujakua kiumri tunatafuta wa kutumia nae.

Unaonekana una majigambo na kujisikia sana....kwa hilo tu kwangu umekosa vigezo
 
mbona mnamshambulia wakati hili jukwaa ndio maala pake mlitaka huu uzi akauweke kwenye siasa?
 
Daah umenikumbusha magazeti ya zamani ulichoandika kulikuwa na kolamu yake.
 
Futi 6 kudadadeki urefu wa jeneza....
unanifaa wewe ila umri tu ndo tatizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom