Natafuta mchumba seriously

Natafuta mchumba seriously

We sijui hata unaandika vitu gani

ahahaaa.....ndugu usiniambie unapata wakati mgumu sana kunielewa. POLE....ila kitabu usichokielewa hujaandikiwa wewe.

Again you may check your IQ as nowadays zinatengenezwa dawa za kuongeza akili na kufaulu mitihani (ref. Dr. Ndodi and the likes)
 
Yani ww unaandika ka unaongea..poor composition


Ahahahah...ndugu jerrymsigwa.

Huoni au hutaki kutambua kipaji nilichonacho cha kupresent both arts "STORY-TELLING AND A WRITTEN ART" on one medium....na kwanini my poor composition isiwe inatokana na your poor understanding?

JUST THINK ALOUD BRO....UMIZA KICHWA KIDOGO KAKA..thats what JF is for....great THINKERS.
 
Ahahahah...ndugu jerrymsigwa.

Huoni au hutaki kutambua kipaji nilichonacho cha kupresent both arts "STORY-TELLING AND A WRITTEN ART" on one medium....na kwanini my poor composition isiwe inatokana na your poor understanding?

JUST THINK ALOUD BRO....UMIZA KICHWA KIDOGO KAKA..thats what JF is for....great THINKERS.

Haya bwana, kama naweza soma 'Harry Potter-Philosopher's stone' ya Jk Rowlings ama 'Romeo & Juliet' nikaelewa we ni zaidi ya Shakespear mkuu? Hata huenda hujui ni vitu gani hivyo..anyway sawa tuu
 
Haya bwana, kama naweza soma 'Harry Potter-Philosopher's stone' ya Jk Rowlings ama 'Romeo & Juliet' nikaelewa we ni zaidi ya Shakespear mkuu? Hata huenda hujui ni vitu gani hivyo..anyway sawa tuu

ahahaha...kakak bado una-utumwa wa fikra kiasi hicho...kwann unasoma mijitabu ya watu wakati unaweza kuandika wewe na watu wakasoma mawazo yako...kama nilivyofanya mie....nimeandika umepata wakati mgumu kunielewa ila umeweza kuwaelewa wengine....wadhungu...mie mswahili mwenzio umeshindwa kunielewa.

hata mie nilishawahi kusoma mijitabu ya watu mara nuclear physics mara newtons principles of motion mara einsten relativity theories ...matakataka kibao ila hayana tija....karibu tutunge na tuandike yetu tusiendekeze yao.

pole lakini...naamini sijakukwaza kihisia au hata kijinsia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom