Hussein J Mahenga
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 753
- 659
Kichwa cha habari hapo juu chajieleza.
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 23;
-Maji ya kunde
-Urefu sm 159
-Uzito kg 59
-Si mnene si mwembamba
-Msukuma wa shinyanga
Hapo juu ni baadhi ya sifa zangu.Natafuta(binti) Mchumba mwenye utayari wa kuishi maisha ya ndoa muda si punde na awe maeneo ya Mwanza ama Shinyanga.Sina vigezo,kikubwa awe na hofu ya Mungu na mwenye mapenzi ya kweli.Umri awe chini ya miaka 21 na asiwe chini ya miaka 18
Nipo serious,jamani,utani pembeni.Kwa yeyote aliye tayari na anahisi nia anayo ani_PM
Nawasilisha
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 23;
-Maji ya kunde
-Urefu sm 159
-Uzito kg 59
-Si mnene si mwembamba
-Msukuma wa shinyanga
Hapo juu ni baadhi ya sifa zangu.Natafuta(binti) Mchumba mwenye utayari wa kuishi maisha ya ndoa muda si punde na awe maeneo ya Mwanza ama Shinyanga.Sina vigezo,kikubwa awe na hofu ya Mungu na mwenye mapenzi ya kweli.Umri awe chini ya miaka 21 na asiwe chini ya miaka 18
Nipo serious,jamani,utani pembeni.Kwa yeyote aliye tayari na anahisi nia anayo ani_PM
Nawasilisha