Natafuta mchumba mwanaume

Miaka 30 bado haujaolewa!!!!!!

Wanawake wabichi kila siku wanazaliwa tuje kwa 30..

Wewe shughuli yako imekwisha. .Itabidi ubakie kutoa msaada kwa wanaohitaji michepuko..

Huna vigezo we kazee
 

umenena vyema mkuu maana kuna watu humu wanadiscourage wengine hakuna mfano utafikiri wao ndo wameshawin life kwani wangapi wameolewa wakiwa wadogo na saiv ndoa zinawatesa??
 
Miaka 30 bado haujaolewa!!!!!!

Wanawake wabichi kila siku wanazaliwa tuje kwa 30..

Wewe shughuli yako imekwisha. .Itabidi ubakie kutoa msaada kwa wanaohitaji michepuko..

mkuu acha kumkatisha dada tamaa ndoa haina kuwah wala kuchelewa unaweza ukawahi ikakakutesa mbaya na wapo wapo wanaolewa ata na 35 na maisha yanaenda vzr hakuna mfano
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…