Natafuta mchumba(mwanamke)

Natafuta mchumba(mwanamke)

Mahmoudyy

Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
9
Reaction score
1
Habari zenu waungwana humu,

Mimi ni kijana ninayejitokeza kutafuta mchumba hapa, sifa zangu:
Muislam.
Mrefu kias.i
Umri wng 22.
Nimeajiriwa serikalini.
Sivuti sigara wala situmii pombe.


Mchumba ninae muhitaji awe na sifa zifuatazo:

Awe muislam.
Mrefu na mnene kidogo.
Asiwe anakunywa pombe wala kuvuta sigara.

MUST��

Awe anatokea mikoa ifuatayo-MOROGORO,MWANZA,SHINYANGA au TABORA

Elimu kuanzia IV na kuendelea

Kwa yeyote anaeguswa au kuhusika na huo Uzi namkaribisha �� @pm

Asanteni sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom