Natafuta mchumba (Mke) daktari,nesi au mwalimu

Natafuta mchumba (Mke) daktari,nesi au mwalimu

SAWEBOY

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2011
Posts
241
Reaction score
175
wapendwa,

Mimi natafuta mke....kwa sababu nimechoka na maisha ya u-single.

Sifa za mke ni mpendaye ....awe:

1. Daktari au Nesi......iwe tayari ameajiriwa na sio mwanafunzi, au awe

2. Mwalimu...katika ngazi yeyote ile hata akiwa mwalimu wa chuo kukuu..poa tu.

3. Umri kuanzia miaka 25 hadi 35.

4. Sichagui dini, wala kabila...coz hivyo vyote sio vikwazo kwa watu wenye nia ya kuishi pamoja.


NB: Atakayekuwa tayari au kuwa interested naomba ani-PM tafadhali.
 
Mkuu hapo kwenye avatar yako pamoja sana japo maumivu hayaishi
 
Ingekuwa vema kumpenda yule uliyemuona kwa macho yako na kuridhia.
 
Ni sahihi kwa hilo usemalo mkuu, lakini binafsi imekuwa vigumu kuwa karibu au kufahamiana na Daktari, Nesi au mwalimu kutokana na majukumu niliyonayo. Hivyo kwa kuwa JF ipo worldwide nimeona ni vema nitoe hilo hitaji langu hapa, na ninaona ni sehemu sahihi ambayo mungu anaweza nibariki na nikapata mke mwema.


Ingekuwa vema kumpenda yule uliyemuona kwa macho yako na kuridhia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom