uwe majiyakunde/mweupe, kabila lolote,mkristo, umri 18-23, mkoa wowote ule,mweny umbo lakupendeza, mimi nko dar kinondoni , mweusi, 168.60 cm tall, ni pm nitakupatia mawasiliano yangu
umbo la kupendeza? si bora umtafuta mwenyewe kwa macho yako, watakuja na virusi watakuletea serious nakwambia, tafuta ke bora na si bora mke.
Ww ni mwanaume au ni mume? Kama ni mume then unatafuta mchimba wa nn?
Pengine dini yake ni ile inayoruhusu Polygamy.
Ww ni mwanaume au ni mume? Kama ni mume then unatafuta mchimba wa nn?
Mimi natafuta nyumba ndogo. Uwe unajua kupiga ugali wa muhogo na usiwe mvivu wa kutwanga nafaka kwenye kinu. Serious bizness...
hapana, namanisha mimi ni mwanaume
hapana, namanisha mimi ni mwanaume