Natafuta mchumba ambaye Mungu akijalia tuishi pamoja hapo baadae.
Sifa zake...
1. Dini - mkristo
2. Kabila - lolote
2. Umbile - Hasiwe mfupi sana wala mnene sana.
3. Umri - hasizidi 27
4. Elimu - Kuanzia kidato cha 6
5. Rangi - Mweupe au maji ya kunde
6. Tabia - Awe mpole,mkarimu,asiwe na tamaa,mpenda maendeleo na
anayeenda na wakati.
7. Afya - asiwe na magonjwa hatarishi, haswa ya kurithi.( tutaenda
kufanya check up, hapa asitegemee kuleta longolongo )
8. Awe mkweri,muwazi,mwelewa na anayejielewa(asiwe conservative sana)
Sifa zangu
Dini - mkristo
Elimu - Masters degree
Umri - 29
Kazi - Sina kazi ya kudumu kwa sasa sababu nimeunganisha shule mfululizo.
Umbile - mrefu
Rangi - mweusi
Tabia - mtulivu,mvumilivu,mwelewa, mchakarikaji.
Kwa mawasiliano unaweza kuni inbox hapa,
au unaweza kunicheck kupitia email yangu : mathiassteve1@gmail.com
Walio serious tu,ndio wanaokaribishwa.
Asanteni......!!
Sifa zake...
1. Dini - mkristo
2. Kabila - lolote
2. Umbile - Hasiwe mfupi sana wala mnene sana.
3. Umri - hasizidi 27
4. Elimu - Kuanzia kidato cha 6
5. Rangi - Mweupe au maji ya kunde
6. Tabia - Awe mpole,mkarimu,asiwe na tamaa,mpenda maendeleo na
anayeenda na wakati.
7. Afya - asiwe na magonjwa hatarishi, haswa ya kurithi.( tutaenda
kufanya check up, hapa asitegemee kuleta longolongo )
8. Awe mkweri,muwazi,mwelewa na anayejielewa(asiwe conservative sana)
Sifa zangu
Dini - mkristo
Elimu - Masters degree
Umri - 29
Kazi - Sina kazi ya kudumu kwa sasa sababu nimeunganisha shule mfululizo.
Umbile - mrefu
Rangi - mweusi
Tabia - mtulivu,mvumilivu,mwelewa, mchakarikaji.
Kwa mawasiliano unaweza kuni inbox hapa,
au unaweza kunicheck kupitia email yangu : mathiassteve1@gmail.com
Walio serious tu,ndio wanaokaribishwa.
Asanteni......!!