Natafuta mchumba ili aje kuwa mke

Natafuta mchumba ili aje kuwa mke

wicklife

Senior Member
Joined
Nov 8, 2016
Posts
120
Reaction score
81
Habari wanajamvi, natumai ni Wazima Mimi ni kijana nimeamua kujitokeza kutafuta mchumba ili badae aje kuwa mke, mwenye upendo wa dhati

Sifa zangu
-dini yangu muislam
-umri Miaka 30
- Kazi nimejiajiri
- elim yangu degree

Mwanamke (mchumba) ninaemuhitaji awe na sifa hizi

- awe muislam ameshika dini na mwenyewe hofu ya mungu

- umri miaka 23 hadi 29

- elim form four hata akiwa na degree sio mbaya

- asiwe mnene sana

Nipo serious, aliye tayar aje pm tufahamiane vizur, naomba masihara tuweke pembeni

Nawatakia siku njema
Ahsante
 
Habari wanajamvi, natumai ni Wazima Mimi ni kijana nimeamua kujitokeza kutafuta mchumba ili badae aje kuwa mke, mwenye upendo wa dhati

Sifa zangu
-dini yangu muislam
-umri Miaka 30
- Kazi nimejiajiri
- elim yangu degree

Mwanamke (mchumba) ninaemuhitaji awe na sifa hizi

- awe muislam ameshika dini na mwenyewe hofu ya mungu

- umri miaka 23 hadi 29

- elim form four hata akiwa na degree sio mbaya

- asiwe mnene sana

Nipo serious, aliye tayar aje pm tufahamiane vizur, naomba masihara tuweke pembeni

Nawatakia siku njema
Ahsante
Kila la kheri mkuu, sema huku sijui kama waaminifu wapo kwakel
 
ukishafanikiwa usisahau kuja na mrejesho hapa,,weng waliofanikiwa hitaji kama lako hawakuja jamvini kuleta marejesho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom