Natafuta mbwa aina ya Rottweiler

Natafuta mbwa aina ya Rottweiler

Mavindozii

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2012
Posts
2,110
Reaction score
2,786
Hello Gentleman and Ladies,
Kwa anayejua wapi nitapata huyu mbwa please .Naomba anijulishe ,natanguliza shukrani ndugu zanguni ,
 
images
 
Unataka umri gani Mkuu. Mimi ninao. Check PM mawasiliano yangu
 
Mkuu.
Sehemu ya picha za Rottweiler. Karibu
Na bleed zingine za mbwa zipo pia.
 

Attachments

  • 4.jpg
    4.jpg
    193.1 KB · Views: 115
  • rot.jpg
    rot.jpg
    38.3 KB · Views: 95
  • 5.jpg
    5.jpg
    279.1 KB · Views: 99
  • 6.jpg
    6.jpg
    364.8 KB · Views: 97
Mkuu samahani naomba kujua hawana mikia?
Hapana Mkuu. Huzaliwa na mkia but huwa inakatwa kwa mapenzi ya mfugaji. Nowadays binafsi napenda abaki na mkia.
Kukatwa kwa mikia kuna sababu zake pia, ikiwemo asili ya huyu mbwa, security wise na matamanio ya mfugaji.

Asili ya Rottweiler walikuwa wanatumika kwenye mashamba kuburuta mizigo na hivyo ilionekana akiwa na mkia unamtinga kufanya hiyo kazi ipasavyo the wakaanza hiyo kukata mikia. Lakini pia iliaminika kwamba ukikata mkia, mbwa huwa na afya zaidi.

Security-wise; mbwa asiye na mkia ni ngumu sana kujua kama amefurahia uwepo wako au lah. Mara nyingi mbwa akifurahia uwepo hisia ya kwanza huwa kwenye mkia kwa kuuchezesha. Sasa asipokuwa na mkia ni ngumu kumjua.

Na upande wa matamanio ya mfugaji ni kama vile wengine u-crop masikio ya mbwa kama Doberman.

Sababu ingine ya kukata ni kwa sababu mikia yao huwa haiendani na miili yao kwa kuwa miembamba.

Machache ni hayo.
 
Hapana Mkuu. Huzaliwa na mkia but huwa inakatwa kwa mapenzi ya mfugaji. Nowadays binafsi napenda abaki na mkia.
Kukatwa kwa mikia kuna sababu zake pia, ikiwemo asili ya huyu mbwa, security wise na matamanio ya mfugaji.

Asili ya Rottweiler walikuwa wanatumika kwenye mashamba kuburuta mizigo na hivyo ilionekana akiwa na mkia unamtinga kufanya hiyo kazi ipasavyo the wakaanza hiyo kukata mikia. Lakini pia iliaminika kwamba ukikata mkia, mbwa huwa na afya zaidi.

Security-wise; mbwa asiye na mkia ni ngumu sana kujua kama amefurahia uwepo wako au lah. Mara nyingi mbwa akifurahia uwepo hisia ya kwanza huwa kwenye mkia kwa kuuchezesha. Sasa asipokuwa na mkia ni ngumu kumjua.

Na upande wa matamanio ya mfugaji ni kama vile wengine u-crop masikio ya mbwa kama Doberman.

Sababu ingine ya kukata ni kwa sababu mikia yao huwa haiendani na miili yao kwa kuwa miembamba.

Machache ni hayo.
Aise nashukuru sana kwa majibu mazuri juu ya swali langu asante sana, napenda sana mbwa.
 
Karibu sana mkuu.
Binafsi ni Dog Lover pia.
Nina Rottweiller, German Shephered na Cross ya GSD na Labrador Retriever
Nashukuru Mkuu je kuna uwezekano wa Mbwa hawa wa kawaida KOKO kuzaa na jamii nyingine ya mbwa kama hao ulionao na wakawa vizuri?
 
Nashukuru Mkuu je kuna uwezekano wa Mbwa hawa wa kawaida KOKO kuzaa na jamii nyingine ya mbwa kama hao ulionao na wakawa vizuri?
Kihualisia hakuna Mbwa Koko. Mbwa ni matunzo tu. Huitwa Koko kwa sababu ya matunzo. Unaweza kutana na "Koko" mwenye matunzo na usiamini.
Inawezekana kabisa kuzaa isipokuwa wengi huwa hawapendi kutoa chotara vinginevyo wapandane bahati mbaya.
 
Kihualisia hakuna Mbwa Koko. Mbwa ni matunzo tu. Huitwa Koko kwa sababu ya matunzo. Unaweza kutana na "Koko" mwenye matunzo na usiamini.
Inawezekana kabisa kuzaa isipokuwa wengi huwa hawapendi kutoa chotara vinginevyo wapandane bahati mbaya.
Somo zuri sana mkuu naomba ukipata muda hebu andika kile unachojua kuhusu hawa Viumbe itakutangaza pia na kukuweka karibu na wateja.
 
unafuga mambwa baada ya kukutana na watu wasiojulikana unaanza kulia lia Kama Joshua nasari
 
Hapana Mkuu. Huzaliwa na mkia but huwa inakatwa kwa mapenzi ya mfugaji. Nowadays binafsi napenda abaki na mkia.
Kukatwa kwa mikia kuna sababu zake pia, ikiwemo asili ya huyu mbwa, security wise na matamanio ya mfugaji.

Asili ya Rottweiler walikuwa wanatumika kwenye mashamba kuburuta mizigo na hivyo ilionekana akiwa na mkia unamtinga kufanya hiyo kazi ipasavyo the wakaanza hiyo kukata mikia. Lakini pia iliaminika kwamba ukikata mkia, mbwa huwa na afya zaidi.

Security-wise; mbwa asiye na mkia ni ngumu sana kujua kama amefurahia uwepo wako au lah. Mara nyingi mbwa akifurahia uwepo hisia ya kwanza huwa kwenye mkia kwa kuuchezesha. Sasa asipokuwa na mkia ni ngumu kumjua.

Na upande wa matamanio ya mfugaji ni kama vile wengine u-crop masikio ya mbwa kama Doberman.

Sababu ingine ya kukata ni kwa sababu mikia yao huwa haiendani na miili yao kwa kuwa miembamba.

Machache ni hayo.
Mkuu hawa ni wepesi kupata mafunzo kwani anamuonekano wa u korofi
 
Bei gani kwa mbwa wadogo?
German Shepherd na huyo pichani?
Wapatikana wapi
 
Back
Top Bottom