Tuma salamuSalaam!
Naomba kwa wenye kufahamu ninapoweza kupata mbegu za Mninga na Mpingo.
Natanguliza shukurani.
Nenda ofisi za tree seed, kihonda morogoro, zipo teleSalaam!
Naomba kwa wenye kufahamu ninapoweza kupata mbegu za Mninga na Mpingo.
Natanguliza shukurani.
Mbegu zipo, aende tu ttsa , kihonda morogoro
Hili ndilo jibu,fata ushauri huu.Nenda ofisi za tree seed, kihonda morogoro, zipo tele
Nafikiri ni zaidi ya hiyo, pine tu ambao ni mti unaokuwa kwa haraka unachukua hadi 15 years kukomaa vizuriMninga hadi ufikie stage ya kuvunwa si chini ya miaka 20
20 kidogo sanaMninga hadi ufikie stage ya kuvunwa si chini ya miaka 20
Moore than 60 years20 kidogo sana
Ni kweli lakin inabidi apate mninga ambao umekomaaPia mninga unaweza upanda kama muhogo ukachipua endapo hutopata mbegu