Natafuta mbao na Mabati

Natafuta mbao na Mabati

KAMSI

Member
Joined
Apr 6, 2011
Posts
24
Reaction score
1
natafuta mbao kwa ajili ya kuezekea nyumba yangu 2 *2 na 4*4 pamoja na mabati ya rangi kama ya vigae ambae ana bidhaa original atume bei fasta maana niko likizo kwa ajili ya kazi hii
 
natafuta mbao kwa ajili ya kuezekea nyumba yangu 2 *2 na 4*4 pamoja na mabati ya rangi kama ya vigae ambae ana bidhaa original atume bei fasta maana niko likizo kwa ajili ya kazi hii

Mbao nzuri ni za Sao hill nadhani zipo pale Mandela Road, na kuhusu bati nakushauri nenda Alafu ni wazuri pia. Kama unatafuta vya wezi tafuta mafundi ujenzi watakusaidia
 
mandela road sehemu gani au kituo gani maana barabara ya mandela ni kubwa inaanzia ubungo hadi bandari
 
walikuwa mabibo baada ya mwananchi ukitokea buguruni sina hakika siku hizi.nenda buguruni tu au tazara
 
Asante ila nimesikia buguruni kuna udalali mwingi anyway ntajaribu kucheki
 
kaka naomba nitafute please nitakuuzia Mbao vizuri Na utapenda nipo Tegeta njiapanda ya wazo

Tegeta ni mbali sana na nnakojenga isdoramboa maana mm nnajenga kivule yaani mbele ya kitunda njia ya gongo la mboto so nahisi nikiweka na usafiri gharama itarudi palepale kama ya mtaani
 
Kweli kuna utapeli kwenye vipimo. buguruni.kitu muhimu nenda na tape yako au fundi wako akague ile futi ajiridhishe haijakatwa na kuungwa then pima nakiri vipimo lipia tu make biashara ushindani.

Uliza hapa pale then hakikisha futi zao huwa wanazikata na kuunga mfano unapmima futi 18 kumbe ni 16 kiuhalisia.ukihakiki futi au ukaenda nayo bomba tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom