Natafuta mawasiliano ya VETA-Chang'ombe

Nasri Julius

Member
Apr 23, 2017
27
4
Naombeni mnisaidie kupata mawasiliano ya chuo cha ufundi veta Chang'ombe kwaajiri ya kujiunga na masomo kozi ya umeme jamani kwa yeyote anayeweza kunisaidia nikapata plz.
 
Naombeni mnisaidie kupata mawasiliano ya chuo cha ufundi beta chang'ombe kwaajir ya kujiunga na masomo kozi ya umeme jamani kwa yeyote anayeweza kunisaidia nikapa plz nitafute kwa no 0688474618
Heshima Mkuu!

Pole kwa msaada unaoutafuta, Muombe Mungu na utafanikiwa kupata unachokitafuta.Pia kwanini umeanika contact zako mapema sana?.Huoni kuwa utapata calls nyingi sana za kusaidiwa na zisizo za kusaidiwa kutokana na username yako (Nb; Kwa mawazo yangu ya hovyo lakini)?.

Pia badilisha kwenye red ili kuondoa sintofahamu ya hapa na pale.

All the best.
 
Asante kwa mawazo but lengo ni msaada wa kweli kwa wanajamii walio nia ya kusaidia Niko out of dar thas why naombeni mnisaidie plz
 
Naombeni mnisaidie kupata mawasiliano ya chuo cha ufundi veta Chang'ombe kwaajiri ya kujiunga na masomo kozi ya umeme jamani kwa yeyote anayeweza kunisaidia nikapata plz.
Kijana usiwe na pupa,sio lazima uje usomee hapa veta dar,mbona mikoani wana vyuo kila mkoa na wilaya,halafu sio lazima usome veta pekee,kuna vyuo vya private wanatoa kozi za umeme na wapo vizuri kiufundishaji tofauti na veta,
Ushaidi ni mimi hapa nilisoma chuo cha ufundi tofauti na veta,na mpaka sasa nipo katika ajira karibia miaka na miaka
 
Kijana usiwe na pupa,sio lazima uje usomee hapa veta dar,mbona mikoani wana vyuo kila mkoa na wilaya,halafu sio lazima usome veta pekee,kuna vyuo vya private wanatoa kozi za umeme na wapo vizuri kiufundishaji tofauti na veta,
Ushaidi ni mimi hapa nilisoma chuo cha ufundi tofauti na veta,na mpaka sasa nipo katika ajira karibia miaka na miaka
Miaka na miaka ndo mingapi mkuu? Samahani lakini
 
Back
Top Bottom