Forecaster
Senior Member
- Nov 22, 2013
- 192
- 98
Wakuu nahitaji kununua matairi ya gari ni yapi yaliyo Bora Kwa uimara. Mimi ninafikiria Bridgestone but kuna mengine yenye caliber ya Bridgestone na bei ipo chini kigodo! Mwawazo yenu ktk hili
Nashukuru Kwa ushauri, vipi zile za GOODYEAR zipo ktk kiwango ganiBridgestone, Firestone hizi ni first, Linglong, Westlake hizo zote bomba
Tairi zote ambazo sio mchina ni nzuri sana ila gharama yake ni kubwa kidogo kulingana na hizi za mchina na zinadumu sana hivyo nunua Bf Goodrich ,Dunlop, Yokohama, Goodyear, nkNashukuru Kwa ushauri, vipi zile za GOODYEAR zipo ktk kiwango gani
Nashukuru, hapa naenda kuchukua Bridgestone, nmefanya review wapo vizuri sema bei. But nimeshajicommit ubora Kwanza kwani huwa nasafiri masafa marefuNunua Dunlop au BF Goodrich ni bora kabisa
Kwa kweli ni miongoni mwa tairi nzuriNashukuru, hapa naenda kuchukua Bridgestone, nmefanya review wapo vizuri sema bei. But nimeshajicommit ubora Kwanza kwani huwa nasafiri masafa marefu
Linglong nazo zimo mkuu??Bridgestone, Firestone hizi ni first, Linglong, Westlake hizo zote bomba
Mdau unazizungumziaje Good year na Continental ?Nunua Dunlop au BF Goodrich ni bora kabisa
Kiwanda cha General tyres kilifungwa long time mzee baba.Wale wa General Tyre na sisi tunaruhusiwa ku comment humu?
Nashukuru, hapa naenda kuchukua Bridgestone, nmefanya review wapo vizuri sema bei. But nimeshajicommit ubora Kwanza kwani huwa nasafiri masafa marefu
Nimechukua 4 bridgestone but ni gharama balaaChukua Bridgestone dueler ni mnyama hasaaa. Hatokuangusha
Nimechukua 4 bridgestone but ni gharama balaa