Mwekezaji, kwa joto lililopo Dar huhitaji hiyo Proofer kwani lile dongo (dough) linaumuka lenyewe bila kuhitaji proofer. Kwa slicer na ile mashine ya kukatia vipande vidogo vidogo vya lile dough, hapa TZ kwetu sijaiona lakini ziko Nairobi pamoja na kwamba bei zake ni mbaya mno.
Tunaweza kukuagizia kutoka Marekani zile ambazo ni used ili uwe na nafuu ya bei.
Tuandikie :
pacificamarine@yahoo.com ili tukusaidie.