Natafuta mashine ya kukamua miwa

Natafuta mashine ya kukamua miwa

Lello199

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2016
Posts
1,385
Reaction score
3,555
Habari wakuu,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji hii machine, iwe halali sio ya wizi, iwe ya kutumia umeme au mafuta. Bajeti yangu ni 700K. kwa mwenye nayo karibu tufanye biashara.

Nipo Tabata.
 
Habari wakuu,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji hii machine, iwe halali sio ya wizi, iwe ya kutumia umeme au mafuta. Bajeti yangu ni 700K. kwa mwenye nayo karibu tufanye biashara.

Nipo Tabata.
Umeshapata mkuu?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom