Natafuta mashamba ya kununua

Natafuta mashamba ya kununua

dushe

Senior Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
198
Reaction score
43
Wakuu kwa mwenye mashamba au information yoyote ya mtu anayeuza mashamba maeneo ya Kibaha au Mkuranga,tafadhali naomba ani pm namba zake kwa mawasiliano zaidi.

Ukubwa wa mashamba hayo uwe kuanzia hekari 30 na kuendelea.

Sihitaji mashamba yenye hati ya serikalini,mauziano yatafanyika ofisi za serikali za kijiji husika.
Natanguliza Shukrani.
 
Morogoro, njia ya Dodoma na nje kidogo tu ya mji wa Morogoro. Yapo na utapata hizo heka 30 na zaidi. Bei 300,000 kwa hekari. Mauziano ni kwa mwenyekiti/ofisi ya kijiji.
 
Dushe linatafuta mashamba! Mashamba aina gani maana hilo jina linatisha.
 
Nipo lamadi ila kuna mashamba kijiji cha sernget wilaya ya bunda mkoa wa mara, mashariki yapo karibu na hifadhi ya wanyama serenget nation park, kusin yanaenda mpaka mtoni na kuna misitu ya ktosha mto mbaraget, mgaribi yapo karibu na ziwa vikitoria kama km moja hiv, na kazikazin, bunda mjini 18km, ni pm 0783327380
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom