Natafuta marafiki waliokomaa kibiashara

Natafuta marafiki waliokomaa kibiashara

ragin

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,391
Reaction score
9,383
Habarini!

Natafuta marafiki wa jinsia zote!
Walio komaa kibiashara na ujasiria mali

Wawe na wasifa angalau huu hapa;

i> Aliepitia changamoto za kupanda na kushuka kibiashara
ii> Ambae ataweza kunipa mwongozo mzuri pindi napoanguka kibiashara
iii> Asiwe mchoyo wa idea mpya za kibiashara
iv> Alie mwaminifu na asietaka kujinufaisha / tajirisha kupitia urafiki
v> Ambae atakae ona /tambua tatizo langu la kibiashara ni kama lake nakulitafakari kiumakini

Nataka siriaz man/woman, ujinga pembeni

Wengi wananiuliza why kutafuta huku? Sababu zangu ni!

I> Ndugu zangu wapo busy sana isitoshe biashara na undugu haviendani
ii> Jirani zangu hao ndo moto wa kuotea mbali kila kukicha wanatizama kipi kinaendelea juu ya biashara muda wote kutaman nianguke

Sasa kwakuwa nime wakwepa hao,naomba asije mtu/watu wanaofanana nao.

Asanteni!
 
Back
Top Bottom