Natafuta management, mimi ni msanii

Natafuta management, mimi ni msanii

son shaka

New Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
4
Reaction score
0
Habari zenu wana Jf,

Mi ni msanii, nina kipaji kizuri tu cha kuimba, natafuta meneja, mimi naishi Dar.

My No: 0717 459 104, Naomba tufanye kazi..
 
Mimi hapa tuwasiliane; 0789254898 au niPM, ewe Diamond ujae.


Mkuu john Ezekiel si kishaweka No mdau hapo juu,si ungempigia tu ujue utamsaidiaje au unamtegea ili akutafute wewe ili baadae yawe kama ya chief Kiumbe na Sheta.
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wana Jf, Mi ni msanii, nina kipaji kizuri tu cha kuimba, natafuta meneja, mimi naishi Dar. My No: 0717 459 104, Naomba tufanye kazi..
Weka walau kipande cha wimbo ulioimba watu wakupime.Na vizuri ueleze ulishaimba wapi pia
 
Ebu imba kwanza tuone kama utaweza kupenya intaneshno kama yule jamaa
 
.............mimi ni msela, siwezi kwenda jela, nikienda jela, narudi na mahela.......
****singing****
 
Ahahahaha....wasanii wetu bana...unatafuta management au unatafuta manager? Na management iku-manage kipi hasa ulichonacho?...kipaji?...mnhhhhh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom