Yes, kama unatokea traffic light za fire kuelekeea kariakoo mkono wa kulia kuna yadi ya magari,baada ya hapo pinda mtaa wa kulia hilo duka lipo hapo na vifaa vya kichinaMkuu kuna jamaa wapo fire.I think ni karibu na petrol station ya oryx.jina ni kama vile radium saloon(labda nimekosea jina).but jaribu those places.
Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!Thanx my dia. JF oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kaka usi kariri hayo maneneno yote ni sawa moja ni american na nyingine british languagemkuu sio saloon ni Salon.... haya maneno yanazingua sana watu