kituli one
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 410
- 312
Wakuu habarini,jumatatu ntakua Dar kuna semina ntafanyia ukumbi tajwa hapo juu,nina mtoto mchanga ninaomba msaada wa kuelekezwa lodge nzuri iliyo jirani na Kisenga na yenye bei nzuri ili nifanye booking mapema.
Budget yangu ni sh.elfu 20000 hadi elfu 30000.Ahsanteni sana.
Budget yangu ni sh.elfu 20000 hadi elfu 30000.Ahsanteni sana.