Natafuta laptop

Sitachoka

JF-Expert Member
Nov 17, 2011
3,030
1,303
Kama kuna mtu anauza laptop tafadhari 2wasiliane kupitia namba 0769782386
 
sifa zake kama zifuatazo:
PROCESSOR=1.86GHz
RAM=2GB
INTERNAL HARDDISK=20GB
EXTERNAL HARDDISK=300GB
PENTIUM=M
 
sifa zake kama zifuatazo:
PROCESSOR=1.86GHz
RAM=2GB
INTERNAL HARDDISK=20GB
EXTERNAL HARDDISK=300GB

PENTIUM=M

mmh mkuu hizi specifications sijazionaga, labda uweke oda kiwandani utengenezewe ya kwako
 
sifa zake kama zifuatazo:
PROCESSOR=1.86GHz
RAM=2GB
INTERNAL HARDDISK=20GB
EXTERNAL HARDDISK=300GB
PENTIUM=M

Do hizi sifa kweli INTERNAL HARDDISK=20GB
EXTERNAL HARDDISK=300GB,, Bongo hautapata Nenda China mkuu,, hahaahahahahaha
 
Endelea tu mkuu, unaweza ukagundua kitu na hayo mawazo yako. Tembelea China ukawauzie hilo wazo.
 
mkubwa hiyo specification ni ngumu kupata. mashine inayo internal hdd na xternal utanunua mwenyewe ukipenda. Tchaooo
 
Mkuu mie naomba nikushauri kitu maana nimeona huna mahitaji mazito ya PC
Tafuta PC yenye sifa hizi ila isiwe DELL D series yani from D600,610,620,630 hadi 800 coz hazina mvuto wa Taswira na ku upgrade kwake ni mtihani hasa kama unataka kufanya upgrade ya Hard disk,ram,Rom nk

Specifix

Brand : HP au Compac though huwa mara nyingi DVD rom/writer zake huwa zinakuja kusumbua baadae
: Acer haina shida
: Sony haina shida
: Dell aina nyingine tofauti na nilizotaja hapo juu.
: Na kadhalika kama Samsung etc

Processor : Duo Core maanake kwenye Core I processor bei itakua kubwa hata kama ni mtumba

Processor Speed : not less than 2.0 GHZ

Ram : 2GB and above

Hard Disk : 250 GB and above - Hapo achana na ma external hard disk maybe kama utaitaji space in future au kumove na vitu pia unaweza kununua na bei yake ni separate kabisa. 320GB kwa 105,000/= na 500GB kwa 115,000/= hadi 120,000/=

Screen size : inch 15

Price range ya PC hizo nilizotaja hapo ukitoa dell hizo ambazo unaweza kupata kuanzia laki 250,000/= hadi 400,000/= hizo D series ambazo ckushauri ndugu yangu ununue.

kwa urahisi kwenye mitumba unaweza kupata HP au Compaqn kwa range ya laki 500-580.


kama watu wakizingua na unaishi Dar nenda duka moja la wajapani lipo Opposite na Freedom Shop ambayo ipo Samora Jengo la Harbour View Tower zamani ilikua inaitwa J Mall. utapata laptop kwa bei nzuri. achana na wasomali wa Kariakoo watakuuzia mi dell hiyo.
 
nna 200,000 kama yupo mwenye laptop spec zake Processor: duo core,Ram kuanzia 2,HDD SATA:Kuanzia 150 gb ukubwa kuanzia nch 15, ni pm kama unayo

Pesa huwa inaongea mfukoni japo haina mdomo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom