Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,735
Wakuu mambo vipi
Natafuta kuku wa kienyeji ( Matetea) kuanzia miezi 4,mbka 6 , ambao bado hawajaanza kutaga . nahitaji kumi kwanza, ila baada ya mda mfupi nitachukuwa wengi ..
Ofa yangu ni 10000 kila mmoja.
Mimi nipo ,Kimara korogwe, Dar es Salaam..
Kama unao nichek whatsapp 0654171555
Sent from my iPhone using JamiiForums
Natafuta kuku wa kienyeji ( Matetea) kuanzia miezi 4,mbka 6 , ambao bado hawajaanza kutaga . nahitaji kumi kwanza, ila baada ya mda mfupi nitachukuwa wengi ..
Ofa yangu ni 10000 kila mmoja.
Mimi nipo ,Kimara korogwe, Dar es Salaam..
Kama unao nichek whatsapp 0654171555
Sent from my iPhone using JamiiForums