Natafuta Kontena la kununua

Natafuta Kontena la kununua

Biohazard

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
2,197
Reaction score
1,471
Natafuta contena la Kununua kwa mtu nipo Mwz. Kontena na Futi 20 mwenye nalo anayeweza niuzia anipm.

Asante
 
Unatafuta kesi tuu hapo,utaambiwa ilo kontena tupu ulilonunua ni moja ya yaliokwepa kulipiwa kodi milion kadhaa na lipo kwako tayari..
 
Unatafuta kesi tuu hapo,utaambiwa ilo kontena tupu ulilonunua ni moja ya yaliokwepa kulipiwa kodi milion kadhaa na lipo kwako tayari..

Hehehe..... Hilo halina shida nitalimudu kama muuzaji atanipa documents.
 
Kwa sasa kubeba contena kwenye semitrailer ni hatari.
 
Kwa sasa kubeba contena kwenye semitrailer ni hatari.
Mkuu umenivunja mbavu sana.
I believe mtoa hoja ana uhitaji wa kupata hiyo item. I hope mtapunguza vimbwanga
 
Sasa hivi bora ukamatwe na ngada kuliko kontena.
TRA walivyo na hasira watakokotoa manamba namba utasikia 27.3bil. Lazina haja kubwa n ndogo zitoke proportionally
 
Mkuu umenivunja mbavu sana.
I believe mtoa hoja ana uhitaji wa kupata hiyo item. I hope mtapunguza vimbwanga

Your correct bro, nahitaji kwa ajili ya site
 
Sasa hivi bora ukamatwe na ngada kuliko kontena.
TRA walivyo na hasira watakokotoa manamba namba utasikia 27.3bil. Lazina haja kubwa n ndogo zitoke proportionally

Duu hatari
 
huwezi pata kontena muda huu subiri upepo wa makontena ya tra upungue.utauziwa kesi bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom