Natafuta kliniki ya meno dar

tiazo

Member
Jan 24, 2013
68
31
Natafuta huduma kama hii ya kurekebisha meno kwa hapa dar na pia kwenye malipo nitumie kadi yangu ya bima NHIF
e93bdcdc6b6648849a28002fe36399a8.jpg

96d996750954ee59caa0ef254beb81df.jpg
 
Hayo ni matibabu kwanza Tambua kwa ajili ya meno ambayo yamekaa ama yameota vibaya......gharama inategemea na kila Dr. Bima haihusiki ni cash kama bado haujapata Dr. Nitext PM nikupatie namba ya Dr. Anaetoa hiyo huduma
 
Back
Top Bottom