Nimeona umekitangaza humu jf ila kwa goba na bei yako hyo kidogo inanipa tabu
Inategemea ukubwa, eneo lilivyo na lilipo hadi nane
Vipi mkuu ulishapata kiwanja??/Natafuta kiwanja eneo la changanyiken au Makongo juu. Bajeti yangu milioni 15. Pia inategemea na eneo lilivyo.
Weka beiVipi mkuu ulishapata kiwanja??/
kama bado nicheki tuzungumze nina plot maeneo ya goba