Natafuta Kiwanja

Natafuta Kiwanja

MAMENGAZI

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2010
Posts
779
Reaction score
129
Habari zenu ndugu, Natafuta kiwanja chenye hati maeneo ya Mivumoni.
 
ninacho kiwanja cha sqm 1119 bankmoon mivumoni.Wasiliana nami kwa 0714182640.
 
Nunua kiwanja maeneo ya Mbezi kwa Msuguri (Temboni) Dar es Salaam.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na ndugu Oswald Sh. Richard kwa simu namba :
00255784342632 au +255767342632
E-mail : cosiastore@yahoo.fr
Kiwanja kipo Mbezi kwa Msuguri. Kuna umbali wa km 2 kutoka barabara ya Morogoro. Barabara ya kuelekea kiwanjani (maeneo ya mtaa wa Temboni) ni ya changarawe na inapitika. Kina ukubwa wa 1350M[SUP]2 [/SUP]
Kimepimwa na hati miliki yake ipo mbioni kutoka. Pia kina uzio wa waya. Bei yake ni Tshs. 60 milioni. Inawezekana kupunguza baada bei ya mazungumzo. Kuna maji umbali wa mita 200 kutoka kiwanjani. Umeme upo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom