Natafuta kiwanja Mwanza

Natafuta kiwanja Mwanza

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,711
Reaction score
8,765
Mada tajwa yahusika
Nna milioni 1 nataka kiwanja Mwanza ,kiwe mahali ambako kuna huduma ya maji na umeme,sitaki madalali
Kama kipo tupia comment yako hapa
 
Me ninacho bwiru... Milioni moja na unaweza lipia kwa awam nne.
 
Mada tajwa yahusika
Nna milioni 1 nataka kiwanja Mwanza ,kiwe mahali ambako kuna huduma ya maji na umeme,sitaki madalali
Kama kipo tupia comment yako hapa
Utapata mkuu hao wanao kejeli ni madalali washazoea kuwaibia wajinga wajinga
 
Mada tajwa yahusika
Nna milioni 1 nataka kiwanja Mwanza ,kiwe mahali ambako kuna huduma ya maji na umeme,sitaki madalali
Kama kipo tupia comment yako hapa
Kama una mil mbili na nusu njoo nichek WhatsApp nikupe kiwanja kilichopimwa
Na Nina kingine mil moja na nusu hakijapimwa kama unataka more details nichek WhatsApp kwa 0763772636 maana JF siingii Mara kwa Mara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom