abdul_eliesikia JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 787 Reaction score 761 Jul 14, 2013 #1 habari zenu wakuu? naombeni msaada nataka nianze maisha sasa kwaio nahitaji kiwanja. Maeneo tajwa na maeneo mengine ambayo bei iko nzuri. bei yoyote tuu lakin isizidi mil 6. kama una deal au una njia kunirahisishia basi niPM wasaaaalam
habari zenu wakuu? naombeni msaada nataka nianze maisha sasa kwaio nahitaji kiwanja. Maeneo tajwa na maeneo mengine ambayo bei iko nzuri. bei yoyote tuu lakin isizidi mil 6. kama una deal au una njia kunirahisishia basi niPM wasaaaalam
twatwatwa JF-Expert Member Joined Sep 19, 2011 Posts 2,066 Reaction score 421 Jul 14, 2013 #2 poa mkuu
Swiper JF-Expert Member Joined Apr 5, 2013 Posts 444 Reaction score 168 Jul 14, 2013 #3 kwa bei hiyo na maeneo hayo, utaendelea kutafuta sana!! Kama upo moro hebu wape madalali jiyo kazi
maula mrs Senior Member Joined Dec 21, 2012 Posts 114 Reaction score 18 Jul 15, 2013 #4 Mkuu check pm yako
Barca JF-Expert Member Joined May 3, 2013 Posts 1,619 Reaction score 1,924 Jul 15, 2013 #5 Mimi ninacho kipo eneo linaitwa Lugala kinaukubwa wa 70x50: bei ni 3M kama upo tayari nipm namba nikupigie kesho asubuhi.
Mimi ninacho kipo eneo linaitwa Lugala kinaukubwa wa 70x50: bei ni 3M kama upo tayari nipm namba nikupigie kesho asubuhi.
abdul_eliesikia JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 787 Reaction score 761 Jul 17, 2013 Thread starter #6 Barca said: Mimi ninacho kipo eneo linaitwa Lugala kinaukubwa wa 70x50: bei ni 3M kama upo tayari nipm namba nikupigie kesho asubuhi. Click to expand... Lugala ndio ipo upande upi wa Morogoro? jaribu kunipa maeneo yaliyopakana ambayo ni maarufu
Barca said: Mimi ninacho kipo eneo linaitwa Lugala kinaukubwa wa 70x50: bei ni 3M kama upo tayari nipm namba nikupigie kesho asubuhi. Click to expand... Lugala ndio ipo upande upi wa Morogoro? jaribu kunipa maeneo yaliyopakana ambayo ni maarufu
abdul_eliesikia JF-Expert Member Joined Oct 29, 2010 Posts 787 Reaction score 761 Jul 17, 2013 Thread starter #7 maula mrs said: Mkuu check pm yako Click to expand... Mkuu sijaona PM yako naomba uangalie vizuri kama ilienda kweli...
maula mrs said: Mkuu check pm yako Click to expand... Mkuu sijaona PM yako naomba uangalie vizuri kama ilienda kweli...