Tafadhali wana jf naomba msaada wenu
kwa hiyo mkuu siwezi pia pata mbele kidogo ya hapo kwa hiyo bei
May be!
Barabara ya Banana- Msongola inapanuliwa ili iunganishe na ile ya Chanika-Mbagala. Nyumba za kubomolewa kwa ajili ya upanizi zishalipwa, watu wameona upanuzi huo ni fursa, hivyo wameongeza bei za viwanja. Kupata kiwanja mbele ya Kitunda inawezekana, ila kitakuwa kidogo kiaina.
Mkuu boko sehemu gani?toa maelezo kidgo ya kujitosheleza kuhusu kiwanja na weka mawasiliano pia mkuu kwa faida ya wengiMkuu vipi maeneo ya huku boko, me nnacho kama unahitaji ni PM
Chakenge pako pouwa sana
ukishafika kivule mwisho uliza chakenge magengeni pako pouwa sana ki mazingira pia serikali ina mpango pia wakujenga hospitali ya wilaya ya ilala na amana kuwa ya rufaa/ya mkoa wametenga eneo kubwa kuleChakenge ndo wapi mkuu?
ukishafika kivule mwisho uliza chakenge magengeni pako pouwa sana ki mazingira pia serikali ina mpango pia wakujenga hospitali ya wilaya ya ilala na amana kuwa ya rufaa/ya mkoa wametenga eneo kubwa kule
Mkuu vipi maeneo ya huku boko, me nnacho kama unahitaji ni PM
kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu kitunda au karibu na maeneo hayo bajrti yangu ni 3M, Mwenye nacho au mwenye kumfahamu mwenye nacho tafadhari naomba ani-pm no yake
Mkuu vipi maeneo ya huku boko, me nnacho kama unahitaji ni PM
ulishakipata mkuu?mm ninacho kivule magole 23x27....ila dau ni 3.5 mil ila unaeza kulipa mpaka kwa awamu tatu(0755236357)