Kiukweli kabisa toka moyoni, ukipata hicho kiwanja chenye hati kwa maeneo hayo uliyoyataja chimba sana kwenye uchunguzi wako kuna kitu utagundua kuwa hakipo sawa.
Kila la kheri.
Kiukweli kabisa toka moyoni, ukipata hicho kiwanja chenye hati kwa maeneo hayo uliyoyataja chimba sana kwenye uchunguzi wako kuna kitu utagundua kuwa hakipo sawa.
Kila la kheri.
Geza kiwanja kilichopimwa huwezi kupata kwa 10ml
Andaa angalau 16-18ml hapo utapata cha size ya 400sqm-500sqm na ni maeneo ambayo bado hayajachangamka, kama mtaa umengechamka na kwa ukubwa huo andaa mpaka 20ml
Geza kiwanja kilichopimwa huwezi kupata kwa 10ml
Andaa angalau 16-18ml hapo utapata cha size ya 400sqm-500sqm na ni maeneo ambayo bado hayajachangamka, kama mtaa umengechamka na kwa ukubwa huo andaa mpaka 20ml