Natafuta kiwanja cha makazi Mbeya Mjini

Natafuta kiwanja cha makazi Mbeya Mjini

adsense master

Senior Member
Joined
Mar 12, 2019
Posts
107
Reaction score
175
Habari wakuu natumaini wazima npo mbeya mjini nahitaji kiwanja kwaajili ya makazi kiwe kimepimwa na hati,sqm 750+,kuwe na maji na umeme..ngependelea zaidi iwambi mpya ( upande wa maghorof)
bajeti yangu 7M.

NB:SIHITAJI DALALI

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom