Natafuta kiwanja kuanzia maeneo ya Ngulelo mpaka kwa pole kiwa kina ukubwa kunzia mita 25 kwa upana na urefu kuanzia 30 hata na zaidi pia liwe eneo linalofaa kuongeza endapo siku nitahitaji nina 7mil cash.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.