Liembiebe New Member Jul 6, 2020 1 0 Aug 28, 2020 #1 Habari, Natafuta kijana mchapakazi, muaminifu kwa ajili ya kufanya biashara ya nyama choma na chips. Namba yangu 0737955394 anitafute
Habari, Natafuta kijana mchapakazi, muaminifu kwa ajili ya kufanya biashara ya nyama choma na chips. Namba yangu 0737955394 anitafute
MzaramoTz JF-Expert Member Dec 13, 2017 1,829 2,986 Aug 29, 2020 #3 Samwel Jr said: Sehemu ya kazi ni wap Click to expand... Ndio wafanyabiashara wetu hao aisee...! π
Samwel Jr said: Sehemu ya kazi ni wap Click to expand... Ndio wafanyabiashara wetu hao aisee...! π
M mbu wa dengue JF-Expert Member Jun 2, 2014 7,658 9,762 Aug 29, 2020 #4 MzaramoTz said: Ndio wafanyabiashara wetu hao aisee...! Click to expand... Hajielewi kabisa. Hivi anafikiri mtu anaweza kutoka Kagera aende Mtwara kufanya biashara ya kuuza chipsi.
MzaramoTz said: Ndio wafanyabiashara wetu hao aisee...! Click to expand... Hajielewi kabisa. Hivi anafikiri mtu anaweza kutoka Kagera aende Mtwara kufanya biashara ya kuuza chipsi.
evonik JF-Expert Member Jun 12, 2015 3,998 5,132 Aug 29, 2020 #5 Sent from Samsung S 3 Sent using Jamii Forums mobile app
Samwel Jr JF-Expert Member May 9, 2020 1,278 906 Aug 29, 2020 #6 MzaramoTz said: Ndio wafanyabiashara wetu hao aisee...! π Click to expand... πππ ni noma Sana mkuu
MzaramoTz said: Ndio wafanyabiashara wetu hao aisee...! π Click to expand... πππ ni noma Sana mkuu
I Islam005 JF-Expert Member Nov 1, 2008 3,288 3,320 Aug 31, 2020 #8 Samwel Jr said: Sehemu ya kazi ni wap Click to expand... Ukerewe, karibuni sana. Nipigie kupitia hiyo namba
Samwel Jr said: Sehemu ya kazi ni wap Click to expand... Ukerewe, karibuni sana. Nipigie kupitia hiyo namba
mnengene JF-Expert Member Nov 21, 2011 4,134 6,343 Aug 31, 2020 #9 Islam005 said: Ukerewe, karibuni sana. Nipigie kupitia hiyo namba Click to expand... Nansio, ukara , Ghana au wapi?
Islam005 said: Ukerewe, karibuni sana. Nipigie kupitia hiyo namba Click to expand... Nansio, ukara , Ghana au wapi?
Samwel Jr JF-Expert Member May 9, 2020 1,278 906 Aug 31, 2020 #10 Islam005 said: Ukerewe, karibuni sana. Nipigie kupitia hiyo namba Click to expand... namba ipi mkuu