KIFUSI CHA BURE Kabisa huwa kipo makaburini ukifa wanakuandalia kifusi bure kabisa tena wanakujazia kwelikweli!
Hivyo usitake sana vya bure!
HAKUNA KIFUSI CHA BURE KABISAA maana lazima patahitaji nguvu hata kama unakitoa mtaa wa pili!
ushauri wangu, kama unakiwanja kikubwa eneo la mbele lichonge uwe kama unalisawazisha utapata kifusi;
Pill chimba shimo la choo ongezea kifusi tatu chimba shimo jingine la taka chukua kifusi halafu hilo shimo jipe mda wa kulijaza taka taratibu ndani ya miaka miwili litakuwa limejaa
NNE
tengeneza floor yenye steps sebulen na dining weka step ili kubalance wingi wa kifusi!
Hivyo usitake sana vya bure!
HAKUNA KIFUSI CHA BURE KABISAA maana lazima patahitaji nguvu hata kama unakitoa mtaa wa pili!
ushauri wangu, kama unakiwanja kikubwa eneo la mbele lichonge uwe kama unalisawazisha utapata kifusi;
Pill chimba shimo la choo ongezea kifusi tatu chimba shimo jingine la taka chukua kifusi halafu hilo shimo jipe mda wa kulijaza taka taratibu ndani ya miaka miwili litakuwa limejaa
NNE
tengeneza floor yenye steps sebulen na dining weka step ili kubalance wingi wa kifusi!