HABAR WANA JF, mi ni msichana wa kitanzania nins umri wa miaka 28 nina shahada ya maendeleo ya jamii, ninatafuta kaz nimechokaa kuwa jobless, kazi yoyote mshara kuanzia laki tatu nipo tayar, maisha magumu jamani, iwe professional ama yoyote. li mrad nisifunje sheria za nchi.
serious person ani pm kwa mawasiliano zaid.
asante.
serious person ani pm kwa mawasiliano zaid.
asante.