Natafuta kazi

Natafuta kazi

mwanaMtata

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2014
Posts
2,393
Reaction score
1,433
Mimi ni kijana wa miaka 20
Nina uzoefu wa miaka miwili katika uuzaji wa duka la vito vya thamani
Natafuta ajira yoyote yenye kufanana na hiyo au ya stationary.
Ninaishi kigogo na ni mtanzania halisi
Asanteni
 
Wewe ni jinsia gani, dini gani, unahtaji mshahara kiasi gani? Njoo PM
 
Mimi ni kijana wa miaka 20
Nina uzoefu wa miaka miwili katika uuxaji wa duka la vito vya thamani
Natafuta ajira yoyote yenye kufanana na hio au ya stationary.
Ninaishi kigogo na ni mtanzania halisi
Asanteni

Nitafute takupm
 
Mie nina diploma ya computer engineering, natafuta kazi, umri wangu ni 25yrs
 
Kama una smartphone, yenye megapixel nzuri, na uko tayari kuzunguka kwa yard za magari, njoo npm nikupe dili. Bora uwe na ushawishi mzuri.
 
Na mimi natafuta kazi yoyote ndugu hali yangu ni mbaya, mwenye kaz ani pm plz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom