Natafuta kazi

Natafuta kazi

umu

New Member
Joined
Jan 7, 2015
Posts
2
Reaction score
0
Habari zenu waungwana, jaman mimi natafuta kazi nimemaliza chuo mwaka jana (SAUT) public and relation, kwa atakaejaliwa kunisaidia ntashukuru sana, napatikana pia kwa njia ya mail hii, umurumaithaa@gmail.com
 
kama ni saut itakuwa ni PUBLIC RELATION AND MARKETING...
 
Habari zenu waungwana ,jaman mm natafuta kazi nimemaliza chuo mwakajana (saut)puplic and relation,kwaatakae jaliwaliwa kunisaidia ntashukuru sana,napatikana pia kwa njia ya mail hii ,umurumaithaa@gmail.com

Nina mashaka na certificate yako mkuu... Huu uandishi sio hata wa form four leaver.
Anyway, nakuombea kwa Mola upate kazi, maana mtaani hakufai kabisa..
 
Habari zenu waungwana ,jaman mm natafuta kazi nimemaliza chuo mwakajana (saut)puplic and relation,kwaatakae jaliwaliwa kunisaidia ntashukuru sana,napatikana pia kwa njia ya mail hii ,umurumaithaa@gmail.com

ni pm tuwasiliane vizuri
 
  • Thanks
Reactions: umu
Habari zenu waungwana ,jaman mm natafuta kazi nimemaliza chuo mwakajana (saut)puplic and relation,kwaatakae jaliwaliwa kunisaidia ntashukuru sana,napatikana pia kwa njia ya mail hii ,umurumaithaa@gmail.com

May Allah be on ur side.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom