Nina digrii ya uhasibu(Accountancy) kwa mwenye kuweza kunisaidia tafadhali.
unataka usaidiwe nn sasa mbona hauko specific!? hivi hata kama tukikuita kwenye kampuni yetu kwa ajili ya kujielezea utaweza kweli?
Wabongo wengi kweli wamesoma lakn bado hawajaelimika! Umeshauriwa nenda taasis za kidini bado unauliza wapi tena? Basi nenda mashule ya watu binafsi! Ukikosa na huko, kabla hujauliza kwingine, nenda BAR ukawe meneja! Hapo kupitia wateja wako(wagidaji) utapata michongo yote ya maisha!