Natafuta kazi

Natafuta kazi

Tky

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2012
Posts
439
Reaction score
140
Natafuta kazi wanajamvi, elimu yangu form six nipo maeneo ya Kimara Dar es salaam. Mawasiliano yangu 0759720291
 
Njoo tuungane kuitafuta… maana hata mimi naitafuta ndugu…
 
kiwanda cha bakhresa pale tazara kila siku wanataka watu, lakn ndo hadi upelekwe na mtu, halafu pia ni kazi za vibarua kwa wiki wanatoa 55,000, ila inabidi uwe na laki ya kuhonga
 
kiwanda cha bakhresa pale tazara kila siku wanataka watu, lakn ndo hadi upelekwe na mtu, halafu pia ni kazi za vibarua kwa wiki wanatoa 55,000, ila inabidi uwe na laki ya kuhonga

Laki ya kuhonga tena, mbona tunashida sana watoto wa masikini.
 
Lakini kama kuna mtu wakunipeleka sio mbaya hiyo laki atapewa nkisha fanya kazi.
 
mungu atunusuru watoto wa wakulima maan me nimetafuta kazi mpk office zngn najikuta narudi mara mbili kmb barua niliacha daah ila ishaallah muombe mungu sana
 
kiwanda cha bakhresa pale tazara kila siku wanataka watu, lakn ndo hadi upelekwe na mtu, halafu pia ni kazi za vibarua kwa wiki wanatoa 55,000, ila inabidi uwe na laki ya kuhonga

mimi nielekeze kwa mtu huyo ambaye anaweza nipeleka tuelewane make huku hali ni tete,kama vp mkuu ni Pm
 
Cash Lineup Earlier was For Library, that u can access Books and read them, Letter "Affillitate program" Was added ya kwamba unapo mjoin your friend na yeye aweze kusoma vitabu unakuwa rewarded, thus we cume up Earning Money. Tell them, Nothing More is on this System. 1. You enjoy the products "Books". 2. You make money when signing your friends.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom