Natafuta kazi...

Natafuta kazi...

chikaputula

Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
28
Reaction score
3
Wakuu, nina diploma ya uhasibu, niliwahi kufanya kazi katika SACCO moja huko jijini mbeya kama teller, front office personel na loan officer ila kutokana na sababu za kifamilia zilizoshindwa kuzuilika kwa wakati huo nikasimama kufanya kazi.

Nina ujuzi na uzoefu pia katika,
.ms word
.ms excel
.electronical communications n.k

Ninaweza kufanya kazi popote Tanzania.

Hivyo basi nawaomba wadau mwenye uwezo/mwenye kazi ya uhasibu au inayofanana nayo anisaidie.

Nina hamu ya dhati ya kufanya kazi ila nategemea sana msaada wenu wakuu.

Nawasilisha.
 
CCM hawana ajira??Maana kutwa unaisifia humu!!!
 
Kwanza nimuomb radh mwenye sired hii kwa kuingilia ni kwasab sijui pa kuandika post ni wap...Shida yangu kubwa ni kuwaomb wanajf wote kwa yoyte mweny uwezo wa kunipa kibarua (kwasababu sina ujuz wowt) anisaidie,nmekuw nkfanya vibarua vya hapa na pale lakin kwasas maish yamekuw magum sana nilibahatika kusomesh na marehm anko had 4m4 na matokeo hayakuw mazur mim bado mdogo so nna nafas ya kujiendleza pale ntakapokuw na maisha yenye uafadhali nimuomb yoyot mwnye msaada kwangu anitafte 0657223663 siombi mtu hela coz me ni mchapakaz naomb kibarua me nipo Dar nahtaji msaad wenu wanajf wenzangu..MUNGU AWABARIKI...n.b niombe tena radh kwa mwenye sired hii na niwaombe nitafute kwenye simu sio kwenye post hii ya watu..NAWASHUKURU SANA
 
Back
Top Bottom