Natafuta kazi

Natafuta kazi

Jitahidi upate Class C itakuwezesha kupata ajira ya kudumu katika ofisi za serikali kwa urahisi.
 
Tembelea cocacola bonite ya moshi juzi walitangaza nafasi 50 za madereva wa magari makubwa!
Thubuthu kuomba huenda ukapata.
 
kuna kampun hipo inatafut maderev wa kwend kuendesh magar kweny nchi za kiarab il unatakiw kuw na pasport ya kitabu
 
Ndio nko kwenye mchakato wa kuchukua C kidole
 
Last edited by a moderator:
hip maeneo ya mweng.we nipigie kw number 0652 868486 nikupe number ya mkuu wa kazi katik hiyo kampuni
 
Pitia zoomtanzania the guardian wanataka driver nafasi 5
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom