Natafuta kazi

Ledisia

Member
Joined
Mar 6, 2013
Posts
10
Reaction score
0
habari zenu wapendwa mm ni mtaalamu wa kilimo na mifugo nina astashahada kwa yeyote mwenye uhitaji plz tuwasiliane au kama kuna sehemu ambayo wanahitaji bibi/bwana shamba pm me tafadhali
 
Ledisia wasiliana na Mh @Nchemba Mwigulu kuna ile hoja yake alipendekeze watu kama nyie mpewe mitaji mkafanye shughuli za uzalishaji kwa kutumia hizo taaluma zenu
 
Last edited by a moderator:
mambo ya wanasiasa tu hayo aliongea na alishamaliza huyo cna mtaji tu ningeanzisha hata mradi wwte kuhusiana na fani yangu sasa cna kianzio
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…