Natafuta kazi

Natafuta kazi

Kolis

Member
Joined
Dec 13, 2012
Posts
35
Reaction score
2
Wapendwa habari zenu. Mimi nna shahada ya uhasibu,natafuta kazi yoyote mkoa wowote,ila isiwe tu ya kunidhalilisha.shukrani sana.
 
Asante kwa taarifa, ila nadhani ungeomba ingeeleweka zaidi kuliko kueleza kuwa unatafuta kazi maana ni watu wengi sana hata walio na ajira bado wanatafuta kazi mpya.
 
Asante kwa taarifa, ila nadhani ungeomba ingeelewekw zaidi kuliko kueleza kuwa unatafuta kazi maana ni watu wengi sana hata walio na ajira bado wanatafuta kazi mpya.
Asante kwa ushauri,kiukweli sina kazi kabisa,naomba kwa yeyote anaeweza nsaidia katika hilo ntashukuru sana
 
Asante kwa taarifa, ila nadhani ungeomba ingeelewekw zaidi kuliko kueleza kuwa unatafuta kazi maana ni watu wengi sana hata walio na ajira bado wanatafuta kazi mpya.
Asante kwa ushauri,kiukweli sina kazi kabisa,naomba kwa yeyote anaeweza nsaidia katika hilo ntashukuru sana
 
Wapendwa habari zenu. Mimi nna shahada ya uhasibu,natafuta kazi yoyote mkoa wowote,ila isiwe tu ya kunidhalilisha.shukrani sana.

katika safari ya maisha, kabla hujafanikiwa inabidi ukubali kudhalilika, kila la kheri katika utafutaji wako
 
usihofu utapata tu, ila wakati unatafuta jishikize hata kwenye kashule fulani, unapiga pindi unapata ya sabuni au vp?
 
Umemalza chuo lini na wapi?

hivi wewe ni unafanya research au?
Maana kila mtu anayetafuta kazi au kuvolunteer lazima umuulize amemaliza lini?na chuo gani?
 
hivi wewe ni unafanya research au?
Maana kila mtu anayetafuta kazi au kuvolunteer lazima umuulize amemaliza lini?na chuo gani?

Amu Una neno wewe!
 
hivi wewe ni unafanya research au?
Maana kila mtu anayetafuta kazi au kuvolunteer lazima umuulize amemaliza lini?na chuo gani?

una umri gani?
 
una umri gani?

Juma aliwakuta denge juu ya mti,akawasalimia.
Hamjambo ndege 100?
Ndege wakamwambia sisi sio ndege 100,nusu yetu ukijumlisha na robo yetu pamoja na wewe ndo tutafika 100.
Je sisi tupo wangapi?
 
Juma aliwakuta denge juu ya mti,akawasalimia.
Hamjambo ndege 100?
Ndege wakamwambia sisi sio ndege 100,nusu yetu ukijumlisha na robo yetu pamoja na wewe ndo tutafika 100.
Je sisi tupo wangapi?

ndege wapo 132
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom