Annah simbeye
Member
- Sep 6, 2021
- 13
- 10
Habarini wapendwa mimi ni bint mtanzania wa miaka 23, nimesoma pharmaceutical science miaka miwili pia nimefanya kazi ya sales and marketing katika kampuni ya East Africa Fruits kwa muda wa miezi kumi. Ninaomba connection ya kazi yoyote yenye mshahara angalau laki tatu