Natafuta kazi

Natafuta kazi

Chibadya

New Member
Joined
Mar 24, 2019
Posts
3
Reaction score
1
Habari zenu wanajukwaa?
Natumaini mko poa sana.
NAITW MUSSA NAISHI UKONGA BANANA.

ELIMU YANGU NI DEGREE

Natafuta kazi wadau iwe ya
1.KUUZA DUKA
2. VIWANDANI
3. kwa makampuni.
Au kazi yoyote wadau,, itakayonipatia kipato cha kukidhi mahitaji yng kasoro ya ulinzi tu.
NAOMBENI MSAADA WENU NDUGU ZANGU.
 
Umesomea fani gani? Na umemaliza mwaka gani?

Mbali na degree una ujuzi gani wa ziada (mfano ujenzi, udereva n.k)

Umejaribu kutuma maombi wapi na wapi?

Wazee wa kusema jiajiri wanakuja sasa hivi.
 
Nimesomea Bachelor of Education in science majoring chemistry and biology.

Najua kuendesha gari au pkpk ila nilijifunzia mtaani ko lesseni sina.

Nishaaply kwny taasisi tofauti na nilishafanya kazi kwny shule moja..

ila nilipatwa na msiba nikatoa taarifa kazn kurud nikawa nimekosa kazi tena
 
nimesomea Bachelor of Education in science majoring chemistry and biology.
Najua kuendesha gari au pkpk ila nilijifunzia mtaani ko lesseni sina..
Nishaaply kwny taasisi tofauti na nilishafanya kazi kwny shule moja... ila nilipatwa na msiba nikatoa taarifa kazn kurud nikawa nimekosa kazi tena..
chuo kikuu nilihitimu 2017
 
nimesomea Bachelor of Education in science majoring chemistry and biology.
Najua kuendesha gari au pkpk ila nilijifunzia mtaani ko lesseni sina..
Nishaaply kwny taasisi tofauti na nilishafanya kazi kwny shule moja... ila nilipatwa na msiba nikatoa taarifa kazn kurud nikawa nimekosa kazi tena..
chuo kikuu nilihitimu 2017
Wewe mdogo wangu ni mzembe kwelikweli toka 2017 hujakubali ku move on..fanya kitu ..jitoe muhanga leo kwa ajili ya kesho..achana na hayo mavyeti yatakupotezea muda..UJUMBE HUU UWAFIKIE WADOGO ZANGU WOTE AMBAO WAMEMALIZA DEGREE ZAO NA HAZIJAWASAIDIA KWA LOLOTE MPAKA LEO😥😥
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom