D Dizzoy New Member Joined Oct 13, 2019 Posts 1 Reaction score 0 Oct 13, 2019 #1 naitwa Davizi Niko kahama mjini maeneo ya Nyasubi Nina miaka 20 natafta kazi yeyote elimu yangu ni kidato Cha nne 3 ya 25 Namba zangu 0626644765
naitwa Davizi Niko kahama mjini maeneo ya Nyasubi Nina miaka 20 natafta kazi yeyote elimu yangu ni kidato Cha nne 3 ya 25 Namba zangu 0626644765
Hazchem plate JF-Expert Member Joined Feb 25, 2011 Posts 11,053 Reaction score 15,520 Oct 14, 2019 #2 Kinehe Ngosha
kamituga JF-Expert Member Joined May 31, 2019 Posts 1,195 Reaction score 1,937 Oct 14, 2019 #3 Kachimbe dhahabu acha uvivu.
monongo JF-Expert Member Joined Oct 25, 2011 Posts 388 Reaction score 64 Oct 15, 2019 #4 Mbona kazi zipo tu tena nyingi sana, tatizo vijana walio waengi wanajua kazi ni mpaka uajiriwe serikalini, unaweza wewe mwenyewe ukajitengenezea ajira na ukawaajiri wengine. Kama una nia kweli nitafute kwa namba 0714452555
Mbona kazi zipo tu tena nyingi sana, tatizo vijana walio waengi wanajua kazi ni mpaka uajiriwe serikalini, unaweza wewe mwenyewe ukajitengenezea ajira na ukawaajiri wengine. Kama una nia kweli nitafute kwa namba 0714452555