STILL BELIEVE
Member
- Aug 1, 2014
- 9
- 4
Habari wanajamii forum.Nimekuja jamvini natafuta kazi.naomba msaada kwa mtu yeyote ambae anafahamu sehemu ambapo kuna kazi maybe tupeane michongo..mana nimetuma application hadi nimechoka
Profession: Mhasibu
Level of Education: Advanced diploma in accountancy
Nilikua muajiriwa kwenye kampuni binafsi niliachishwa kazi mwaka jana mwezi wa nane sababu tu ya ujauzito,sasa nimelea mwanangu angalau kasogea now natafuta kazi naomba msaada wenu ndugu zangu mana nna hali ngumu mno.Kazi yeyote ntafanya kama nilivyosema professionally ni muhasibu,nilikua mhasibu msaidizi kwenye hio kampuni lakini kwa hali ngumu nlokua nayo niko tayari kufanya kazi yeyote halali mradi mkono uende kinywani.
Kwa mawasiliano here is my email address: nmgahi@gmail.com
Nashindwa kuweka namba ya simu sababu naogopa isije ikatumika vibaya.
Kwa yeyote mwenye kuguswa kunisaidia anaweza kunicheki dm.Asanteni na Mungu awabariki sana.
Profession: Mhasibu
Level of Education: Advanced diploma in accountancy
Nilikua muajiriwa kwenye kampuni binafsi niliachishwa kazi mwaka jana mwezi wa nane sababu tu ya ujauzito,sasa nimelea mwanangu angalau kasogea now natafuta kazi naomba msaada wenu ndugu zangu mana nna hali ngumu mno.Kazi yeyote ntafanya kama nilivyosema professionally ni muhasibu,nilikua mhasibu msaidizi kwenye hio kampuni lakini kwa hali ngumu nlokua nayo niko tayari kufanya kazi yeyote halali mradi mkono uende kinywani.
Kwa mawasiliano here is my email address: nmgahi@gmail.com
Nashindwa kuweka namba ya simu sababu naogopa isije ikatumika vibaya.
Kwa yeyote mwenye kuguswa kunisaidia anaweza kunicheki dm.Asanteni na Mungu awabariki sana.