NATAFUTA KAZI

NATAFUTA KAZI

ifix network

Member
Joined
Oct 9, 2018
Posts
6
Reaction score
5
Me ni kijana umri 22yrs mkazi wa DSM, ni muhitimu wa Stashahada ya Information Technology (IT) na CISCO CCNA.
Natafuta nafasi ya kazi yoyote itayoendana na fani yangu katoka taasisi, serikali ata kampuni binafsi.
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa mtu mwenye sifa zinazolandana namimi usisite kunicheki DM.
Niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote ndani ya Tanzania.
Asante
 
Me ni kijana umri 22yrs mkazi wa DSM, ni muhitimu wa Stashahada ya Information Technology (IT) na CISCO CCNA.
Natafuta nafasi ya kazi yoyote itayoendana na fani yangu katoka taasisi, serikali ata kampuni binafsi.
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa mtu mwenye sifa zinazolandana namimi usisite kunicheki DM.
Niko tayari kufanya kazi sehemu yoyote ndani ya Tanzania.
Asante
Hey there... My name is Kevin, iv seen many of your posts and be amazed by how you are dedicated to cisco certs... I am a ccna(studing my ccnp saivi) na nina wazo lakuunganisha watu wanaosoma na waliotoboa kikazi kupeanda ushauri na ushirikiano....kama utakua interested plz nicheki whatsapp nikuunge kwenye grp (0753228505)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom