Redmart
Member
- Jan 8, 2018
- 11
- 0
Mm ni binti mwenye miaka 24 elimu ya ni diploma ya ualimu na malezi ya watoto ninajitambua na ninapenda watoto ninatafuts kazi yoyote ya kuniingizia kipato ila iwe inayokubalika na jamii,ikiwa ni kulea watoto nyumbani au vitui sawa,kuuza Duka au viwandani
Niko serious katika hili tusaidiane ktk kujenga taifa na uchumi binafsi
Niko serious katika hili tusaidiane ktk kujenga taifa na uchumi binafsi